

Wandugu wapenzi tuwe makini na vijana hawa waendesha pikipiki hapa mjini maana namna hii zitatuvunja miguu !
kila mtu kwa nafasi yake tujitahidi kuwaelisha vijana ili waweze kuendesha pikipiki kwa uangalifu wa hali ya juu na kutoingia barabara kuu maaana
matukio mengi ya ajali yanatisha ni kwa kuwa basi hatuna mratibu maaalum wa kutoa habari na matukio ya biashara ya pikipiki hapa Dar es salaam , sijui na kwenginepo
mimi binafsi natumi usafiri huu , kwa kuwa ni nrahisi na nafuu ila madhara yake kwa vijana wanatumia barabara pamoja na watumiaji wengine kwa kweli inasikitisha sana maana kila siku ajali ,achilia na matukio ya wizi, wa kuibiana pikipiki ,
Kwa ujumla swala la pikipiki inabidi liwe na sheria maana za kudhibiti matukio kama haya
.
No comments:
Post a Comment