.jpg)
Mimi binafsi nadhubutu kuipongeza na kusema wanastahili kupewa pongezi kwa kazi zao nyingi wanafanya , kwa kweli wanajitahidi sana , pamoja na vikwazo ambavyo vinaweza kuwa vinawakwaza njia ni kupambana navyo kwa kwa kadri iwezekana maana , Nchi yetu inahitaji maendeleo makubwa ya barabara !
Mfumo mzuri unaleta maendeleo makubwa mno katika kukuza uchumi wa taifa letu ukizingatia tunategemewa na nchi nyingi zilizo pembeni mwetu
Ahsante Wakara wa barabara ongeza bidii kwa ubunifu zaidi .
No comments:
Post a Comment