Tuesday, August 25, 2009

Tanroad wapongezwe!


Mimi binafsi nadhubutu kuipongeza na kusema wanastahili kupewa pongezi kwa kazi zao nyingi wanafanya , kwa kweli wanajitahidi sana , pamoja na vikwazo ambavyo vinaweza kuwa vinawakwaza njia ni kupambana navyo kwa kwa kadri iwezekana maana , Nchi yetu inahitaji maendeleo makubwa ya barabara !

Mfumo mzuri unaleta maendeleo makubwa mno katika kukuza uchumi wa taifa letu ukizingatia tunategemewa na nchi nyingi zilizo pembeni mwetu

Ahsante Wakara wa barabara ongeza bidii kwa ubunifu zaidi .

No comments:

Post a Comment